Lyrics: Lava Lava – Wale Wale

Lava Lava – Wale Wale
Lava Lava – Wale Wale

Lava Lava – Wale Wale. Download, listen and enjoy new release from Lava Lava tagged “Wale Wale”.
Tune was taken from new released Ep tagged ‘PROMISE’.

Naumwa nina maradhi
Nipelekeni hospitalini
Mwenzenu naumwa moyo umekufa ganzi
Nimechoka kunywa quinini
Nahisi ukichaa
Nusu tahira uchizi
Naona kinyamazongo
Niliyavagaa rambi nikaipiga mbizi
Ikanipasua ubongo (Ubongo)
Angeniambia basi, tungeachana kizungu
Ningempa nafasi, kuliko kutupanga mafungu
Nisinge gasi, japo ni ngumu machungu
Chanya na hasi, yote napanganga Mungu
Kibatari kazidisha tambi, penzi limelipuka
Ye anacheat haogopi dhambi, anaruka ruka
Moyo kaupiga bambi, umeshateuka
Popote anaweka kambi, kutwa nachepuka
Yaani ndo wale wale
Wanaokujaga na tafadhali nakupenda (Wale wale)
Wakimaliza shida zao wanakwenda (Ndo wale wale)
Ati ooh nilipotoka nilitendwa (Wale wale)
Kumbe ni waongo, waongo
Oooh nenda mwambie
Mapenzi hayana jangili yanaumiza
Tena mwambie
Kuna walo matajiri washalizwa

Usimfiche mwambie
Mapenzi hayana utabiri si miujiza
Fanya mwambie
Mimi si wa kwanza kuumizwa
Yaliwatesa vikongwe
Tulisoma vitabuni
Nami amenipa mazonge
Najikaza kisabuni

Sawa mimi ni mnyonge
Damu yangu ya kunguni
Mi fungu la tatu ikibonda
Mwezangu lake love me
Angeniambia basi, tungeachana kizungu
Ningempa nafasi, kuliko kutupanga mafungu
Nisinge gasi, japo ni ngumu machungu
Chanya na hasi, yote napanganga Mungu

Kibatari kazidisha tambi, penzi limelipuka
Ye anacheat haogopi dhambi, anaruka ruka
Moyo kaupiga bambi, umeshateuka
Popote anaweka kambi, kutwa nachepuka

Yaani ndo wale wale
Wanaokujaga na tafadhali nakupenda (Wale wale)
Wakimaliza shida zao wanakwenda (Ndo wale wale)
Ati ooh nilipotoka nilitendwa (Wale wale)
Kumbe ni waongo, waongo
Mwache afanye anachotaka (Hanikomoi, wala hanikomoi)
Sishtuki hata (Hanikomoi, wala hanikomoi)
Sina hofu sina mashaka (Hanikomoi, wala hanikomoi)
Bure anatapa tapa (Hanikomoi, wala hanikomoi)

Mwache afanye anachotaka (Hanikomoi, wala hanikomoi)
Sishtuki hata (Hanikomoi, wala hanikomoi)
Sina hofu sina mashaka (Hanikomoi, wala hanikomoi)
Bure anatapa tapa (Hanikomoi, wala hanikomoi)
(The Mix Killer)

Jamie

Call the classic man on +233542793417

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Back to top button